Hafla ya utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU)

Dkt. Emmanuel Mkilia, Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) na Prof. Alex Makulilo, Makamu Mkuu wa Chuo kikuu Huria Tanzania (OUT) wakisaini hati ya maridhiano ya miaka mitano (5) ya kutoa elimu ya dhana ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa Maafisa Ulinzi wa Taarifa (DPO’s) ili kuboresha ulinzi wa taarifa binafsi nchini.

Mafunzo kwa Maafisa Ulinzi wa Taarifa

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki akitoa cheti kwa mshiriki wa mafunzo maalum ya maafisa ulinzi wa taarifa (DPOs) mara baada ya kukamilika kwa mafunzo hayo yaliyofanyika Januari, 2026 jijini Arusha.

Kongamano la Kitaifa la Faragha na Ulinzi wa Taarifa Binafsi, 2026

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) Dkt. Emmanuel Mkilia akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA Tanzania (ICTC) Dkt. Nkundwe Mwasaga wakiwa kwenye picha ya pamoja wakifuatilia kwa karibu Kongamano la kwanza la faragha na ulinzi wa taarifa binafsi Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kituo cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 29 Juni hadi tarehe 1 Julai, 2026.

Faragha Yako ni Wajibu Wetu
Dkt. Emmanuel Lameck Mkilia
Dkt. Emmanuel Lameck Mkilia
Mkurugenzi Mkuu
"

Karibu kwenye Wavuti ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

- Dkt. Emmanuel Lameck Mkilia
Ujumbe kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu

Karibu kwenye tovuti ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Tanzania! Tunakushukuru kwa kutembelea tovuti yetu.

Takwimu za Utekelezaji

Kuwalinda Watanzania kwa Kiwango Kikubwa

Tangu kupitishwa kwa sheria ya PDPA 2022, tumeendelea kusimamia viwango vya ulinzi wa taarifa binafsi katika sekta zote za uchumi.

14400 +
Idadi ya Taasisi Zilizojisajili - Mei 2026
340 +
Idadi ya Malalamiko Yaliyopokelewa - Mei 2026
39+
Vibali vya Kusafirisha Taarifa nje ya nchi vilivyotolewa - Mei 2026
4+
Maamuzi - Mei 2026
Tunachofanya

Huduma zetu

Huduma kamili za ulinzi wa taarifa binafsi kwa wananchi, taasisi na vyombo vya serikali nchini Tanzania.

USAJILI

Mtu hatakusanya au kuchakata taarifa binafsi bila kusajiliwa na Tume kama mkusanyaji au mchakataji.
… more

MALALAMIKO

Mtu yeyote atakayebaini ukiukwaji wa misingi ya ulinzi wa taarifa binafsi au kutoridhishwa na uamuzi wa mkusanyaji au mchakataji kuhusiana na taarifa binafsi anaweza kuwasilisha malalamiko Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi
… more

DAWATI LA HUDUMA

Unaweza pia kuwasiliana nasi kupitia nambari zetu za simu au barua pepe ya dawati la msaada
… more

MAFUNZO NA ELIMU KWA UMMA

Kwa mujibu wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, Sura ya 44, Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imepewa jukumu la kutoa elimu kwa umma kuhusu masuala yanayohusu ukusanyaji, matumizi, uhifadhi na ulinzi wa taarifa binafsi.
… more

KIBALI CHA KUSAFIRISHA TAARIFA BINAFSI NJE YA NCHI

Kwa mujibu wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, Sura ya 44, Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) ina jukumu la kusimamia na kudhibiti usafirishaji wa Taarifa Binafsi kwenda nje ya mipaka ya nchi ili kuhakikisha kuwa Taarifa hizo zinapata kiwango stahiki cha Ulinzi.
… more
Video

Video na Matangazo

Tazama Zote β†’

TAASISI BINAFSI NA ZA UMMA ZIJISAJILI PDPC - MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

HOTUBA YA MKURUGENZI MKUU PDPC, MAFUNZO YA DPOs KUTOKA TBA NA TAMNOA

MKURUGENZI MKUU PDPC - KIPINDI MAALUM CHA ITV DK 45